iqna

IQNA

al azhar
Elimu
IQNA - Rais wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri ameisitiza haja ya kulipa kipaumbele maalum  suala la tarjuma au tafsiri sahihi ya maandishi ya Kiislamu
Habari ID: 3478733    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/25

Elimu
IQNA - Naibu mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri amesema kuna changamoto nyingi katika kazi ya tarjuma au tafsiri ya maandiko ya kidini, ikiwa ni pamoja na Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3478722    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/23

Mtazamo
IQNA - Imamu mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri alisema matukio machungu yanayotokea duniani yanadhihirisha ukweli kwamba ubinadamu unahitaji mafundisho ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3478645    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/07

Watetezi wa Palestina
IQNA-Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kimelaani mashambulizi ya utawala wa Kizayuni katika mji wa Rafah kusini mwa Gaza, na kuonya kuhusu maafa ya binadamu katika eneo hilo.
Habari ID: 3478350    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/14

Al Azhar
IQNA - Msomi na afisa wa zamani wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri amesisitiza ulazima
Habari ID: 3478228    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/21

Harakati za Qur'ani
IQNA - Maafisa kadhaa kutoka Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri wamefanya mazungumzo na wanachama wa chama cha wachapishaji cha Misri ili kujadili njia za kutatua matatizo katika mchakato uchapishaji Misahafu au nakala za Qur’ani Tukufu nchini humo.
Habari ID: 3478222    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/20

Elimu
IQNA - Kituo cha Mafunzo ya Kiislamu chenye mafungamano na Chuo Kikuu cha Al-Azhar cha Misri kimechapisha mfululizo wa vitabu vipya vya mafundisho ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3478190    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/13

Qur'ani Tukufu
IQNA - Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kilichapisha ripoti inayofafanua shughuli zake za Qur'ani mnamo 2023.
Habari ID: 3478139    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/03

Lugha ya Kiarabu
IQNA - Kuteremshwa kwa Qur'ani Tukufu kwa Kiarabu kuliongeza hadhi na kudumu kwa lugha hiyo, Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kilisema.
Habari ID: 3478058    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/19

Uislamu na Mazingira
DUBAU (IQNA) – Sheikhe Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri amesema kuna aya nyingi katika Qur'ani Tukufu zinazowaalika watu kuheshimu mazingira.
Habari ID: 3477992    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/05

Jinai za Israel
CAIRO (IQNA)- Sheikh Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar cha Misri amesema kuwa wakati umefika sasa wa kusitishwa jinai za utawala gaidi wa Israel na mauaji ya watu katika ardhi ya Palestina.
Habari ID: 3477985    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/04

Watetezi wa Palestina
CAIRO (IQNA) - Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kimesema wakati umefika kwa watu wote wanaopenda uhuru duniani kuungana kwa ajili ya kuundwa taifa huru la Palestina ili kukomesha ubeberu na ukaliaji mrefu zaidi wa ardhi ya wengine katika historia.
Habari ID: 3477968    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/30

Kimbunga cha Al Aqsa
CAIRO (IQNA) – Sheikhe mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri amesifu ushujaa na ujasiri wa watu wa Ukanda wa Gaza katika kukabiliana na mashambulizi makali ya Israel.
Habari ID: 3477821    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/31

Umoja wa Waislamu
BERLIN (IQNA) - Balozi wa Iran nchini Ujerumani na Sheikhe Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha al-Azhar ncini Misri walikutana mjini Berlin kujadili masuala muhimu yanayoukabili ulimwengu wa Kiislamu na jinsi ya kustawisha umoja na mshikamano kati ya Waislamu.
Habari ID: 3477590    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/12

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Sheikh wa Al-Azhar wa nchini Misri, akijibu barua ya mkuu wa vyuo vya kidini vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ameeleza matumaini yake kuwa msimamo wa pamoja uliochukuliwa na Waislamu hivi karibuni katika kukabiliana na suala la kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu utakuwa kichocheo cha kutatua tofauti na kuleta umoja baina yao.
Habari ID: 3477367    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/01

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
CAIRO (IQNA) - Semina itaandaliwa na Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kujadili kukabiliana na uhalifu wa uchomaji moto wa Qur'ani Tukufu katika nchi za Magharibi.
Habari ID: 3477366    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/01

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
CAIRO (IQNA) - Kufuatia matukio ya mara kwa mara ya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu nchini Uswidi na Denmark, Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kimetoa wito kwa Waislamu na nchi za Kiislamu kususia bidhaa za nchi hizo mbili za Ulaya.
Habari ID: 3477345    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/26

Mazungumzo baina ya dini
CAIRO (IQNA) - Sekretarieti ya Baraza la Wanazuoni la Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri imetoa wito wa kufanyika kongamano la kimataifa ili kujibu maswali kuhusu Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3477293    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/16

Harakati za Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kimezindua mpango wake wa Qur'ani kwa majira ya kiangazi.
Habari ID: 3477077    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/31

Umoja wa Waislamu
TEHRAN (IQNA) - Ayatullah Ammar al-Hakim, kiongozi wa Harakati ya Al-Hikma (Hekima) ya Iraq, amekutana na mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri Sheikh Ahmed al-Tayyib.
Habari ID: 3477073    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/30